Pesa ya KICHUYA, Inauwezo wa kununua kina KICHUYA 6 wengine.
Mshahara anaoupata hata angekua mwanao ungemruhusu tuu aende.
Mshahara anaoupata hata angekua mwanao ungemruhusu tuu aende.
Habibu Kyombo alifuzu majaribio na pia alifanyiwa vipimo vya afya.
Yanga haimuhitaji sana Hajji Manara.
Hawaumia kuona Haji Manara anakiuza kipaji chake?, hebu waumizwe na hii hali kisha watafute wasimamizi wazuri wa vipaji vyao.
Yanga imepoteza michezo miwili mfululizo, wa ligi kuu mmoja na kombe la sportpesa mmoja.
Leo Simba itacheza kwenye Sportpesa Cup , atasimama kama mmoja ya wawakilishi wawili waliobaki kwenye michuano hii ya Sportpesa Cup.
Yanga imetolewa kwenye michuano ya Sportpesa Cup.
Tetesi zilizotufikia!
Ambundo kwa mwezi huu ameshafunga magoli 4 na anachuana vikali na Aiyee wa Mwadui FC
Yanga ilipoteza mechi yake ya kwanza msimu huu mbele ya Stand United.