Tigana Lukinja

Mchambuzi
Mchambuzi na Mkufunzi wa Mpira wa miguu. Tigana hufanya uchambuzi katika vituo mbali mbali vya redio na luninga. Mchezaji wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania bara.
Ligi Kuu

Mtibwa na mchezo wao wa karata.

Kama ningeulizwa ya Mtibwa Sugar FC ilipaswa kuwa timu ya mchezo gani basi jibu langu la moja kwa moja ingekuwa Karata. Hawa ni magwiji wa mchezo ule maaarufu wa karata ' last card' wa kugemua mwisho huku watu wakificha majokers na vimbili'. Misimu mitatu ya mwishoni mambo yao hayaendi vizuri...
1 5 6 7 8 9 14
Page 7 of 14