Mchambuzi na Mkufunzi wa Mpira wa miguu. Tigana hufanya uchambuzi katika vituo mbali mbali vya redio na luninga. Mchezaji wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania bara.
Lakini si kwa bwana mdogo huyu ambaye aliumia mara moja (hana historia ya kuwa majeruhi) zaidi ya hiyo mara moja iliyotaka kutishia soka lake japo klabu ilimvumilia
Kama ningeulizwa ya Mtibwa Sugar FC ilipaswa kuwa timu ya mchezo gani basi jibu langu la moja kwa moja ingekuwa Karata. Hawa ni magwiji wa mchezo ule maaarufu wa karata ' last card' wa kugemua mwisho huku watu wakificha majokers na vimbili'. Misimu mitatu ya mwishoni mambo yao hayaendi vizuri...