Kilomoni sio mdhamini wa Simba Sc
Mzee Kilomoni ameonekana kuwa ni kikwazo kwa muda mrefu katika mabadiliko ya klabu hiyo.
Mzee Kilomoni ameonekana kuwa ni kikwazo kwa muda mrefu katika mabadiliko ya klabu hiyo.
Vilabu vinaweza kuwa na utaratibu ambao umekubalika wa kupunguza utegemezi, na kuangalia zaidi kushinda na kuwekeza zaidi kwa lengo hilo hilo la kupunguza utegemezi.
Katika orodha hii, kuna sura ngeni akiwemo Salim Aiyee huku wengine wakiachwa kutoka katika kikosi cha Amunike cha awali.
Mchezaji huyo aliyefunga magoli 18 msimu jana kwenye ligi kuu, na akafunga magoli 2 kwenye mechi za mtoano ya kupanda ligi kuu.P
Wakati watu wengi wakiamini Juma Kaseja ni shabiki wa Simba Sc kutokana na yeye kucheza kwa muda mrefu katika klabu hiyo ya Kariakoo.
Kitu muhimu ni kuwaunga mkono Taifa Stars huko waliko wapate ushindi.
Vilabu vyote 20 vinatakiwa kuona hii na kuwa na wivu hata wa kukopa sehemu ili vitengenez pesa hii.
Kama ambavyo wengi wetu tunavyosema kuwa michuano ya Afcon ya mwaka huu tumeenda kujifunza na siyo kushindana. Basi kuna vitu ambavyo tunatakiwa kuvichukua kama fundisho.
Jana tulikuwa na mechi ya kwanza ya mashindano ya Afcon baada ya kukaa miaka 39 bila kushiriki michuano hii mikubwa barani Afrika.
CAF hivi karibuni imekumbwa na tuhuma mbalimbali zinazohusiana na masuala ya rushwa.