Wapwa : Waswahili wanao msemo wao kufa kufaana ….. Baada ya kamati ya saa 72 kumfungia Bernard Morrison kucheza michezo mitatu ya ligi kuu ya NBC itakayofuata Ambao ni dhidi ya Ruvu shooting ,Namungo na Simba sports baadaye mwezi October Kuna maswali mengi nimekuwa naulizwa kubwa kuliko wengi wa akiuliza...
Nafahamu siku zote picha moja ina tafsiri rasmi na zisizo rasmi 1000 kutokana na mapokezi yako Katika picha hii ni Makocha wawili wa @simbasctanzania kwa wakati huu Juma Mgunda na Seleman Malola. Kwenye tafsiri yangu ya kwanza ni kuonesha ushirikiano wa hawa watu wawili kwenye benchi la ufundi Hali hii...