Balinya atua Yanga
Balinya aliibuka mfungaji bora msimu uliopita katika Ligi Kuu ya Uganda akifunga jumla ya mabao yasiyopungua 21.
Balinya aliibuka mfungaji bora msimu uliopita katika Ligi Kuu ya Uganda akifunga jumla ya mabao yasiyopungua 21.
Hiki ndicho kikosi chetu bora cha Ligi Kuu Msimu wa 2018/19. Unaweza kutupa na kukipigia kura.
Kama tulivyokuwa tumewaripotia hapo awali kuhusu safari ya Etienne Ndayiragije kutoka KMC kwenda Azam Fc, hatimaye leo imetimia.
Licha ya kwamba kuna habari ambazo inaonyesha Zana anabaki na pia kukana kwa Uongozi kuhusu habari kuhusu Zana, hana uhakika bila shaka kubaki.
Simba inaendelea kufanyia kazi mapendekezo ya kocha wao mkuu, na imeshaanza usajili wa kuleta ushindani msimu ujao.
Katika hafla hiyo iliyoambatana na futari imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kiserikali na watu maarufu huku mgeni rasmi akiwa ni Spika wa Bunge la Jamuhuri La Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai.
Harakati za usajili katika klabu ya Yanga zinaendelea kwa kasi kubwa, baada ya msimu uliomalizika kuwa na kikosi hafifu Yanga wanapigana ili wawe na kikosi ambacho ni imara.
Baada ya mchezo huo kocha mkuu wa Yanga amedai kuwa mechi hiyo ilikuwa ni kama ya kirafiki kwa sababu wachezaji walikuwa wanacheza wanavyojisikia.
Kagera Sugar imeshuka daraja la Ligi kuu kwa sheria ya Head 2 Head dhidi ya Stand united. Lakini takwimu zipo tofauti
Tazama orodha ya mechi na matokeo yake ya mechi zote za Ligi kuu ambazo zimempa ubingwa kwa mara nyingine mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba SC.