Ligi Kuu Tanzania bara 2018/2019 unaipa alama ngapi?
Pamoja na mapungufu ambayo mashabiki na wadau wa kandanda nchini wamekuwa wakizungumza, Ligi Kuu imefanikiwa sana. Nafasi yako kuipigia kura kujua maoni ya wadau na mashabiki wa kandanda.
Pamoja na mapungufu ambayo mashabiki na wadau wa kandanda nchini wamekuwa wakizungumza, Ligi Kuu imefanikiwa sana. Nafasi yako kuipigia kura kujua maoni ya wadau na mashabiki wa kandanda.
Lakini pia vilabu havina budi kutafuta wadhamini wao wa ndani pia ili kupunguza makali ya uendeshaji wa vilabu.
Wadau wengi wamekuwa wakiulizia kujua mshindi wa Ligi Kuu atapata nini, kwakuwa Ligi haina mdhamini mkuu.
Mimi siwezi kuwapa hongera kwa sababu hawakustahili ubingwa, kwenye watu saba wawili tu ndiyo watakubali ubingwa wa Simba”.
John Bocco baada ya kufunga bao katika mchezo wa leo kusogea na kuongeza thamani yake katika Ligi Kuu Bara.
Tazama msimamo hapa baada ya ushindi wa mabao mawili kwa sifuri huku magoli ya Simba yakifungwa na Meddie Kagere dakika ya 10 na John Bocco dakika ya 60.
Kiufundi, mechi hii itakuwa ngumu sana kwa Simba na kuna asilimia kubwa leo Simba wasitangaze ubingwa kwenye ardhi ya Singida.
“Simba watatusamehe, tunahitaji alama tatu ambazo zitatuweka katika mazingira mazuri ya kuendelea kubaki daraja msimu huu”.
Heritier makambo mshambuliaji wa Yanga sc ameendelea kuteseka mbele ya mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere
Kwa msimu huu tuu tayari Ligi yetu imetoa zaidi ya wachezaji watatu waliokwenda katika nchi zilizoendelea kisoka na hivyo kuongeza thamani ya Ligi yetu na kufanya izidi kufwatiliwa na mawakala zaidi.