ASFC

ASFC

Simba na Yanga zakimbiana kombe la FA

Mshindi wa michuano hiyo ndio ataiwakilisha nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Hivyo ni wazi vilabu vya Azam Fc na Singida Big Stars vitaendelea kukabana koo ili kupata ushindi na kupata nafasi ya kuwakilisha nchi Kimataifa
ASFC

Wananchi wanashuka dimbani kuifwata Simba.

Klabu ya soka ya Yanga leo jioni itashuka dimbani katika mchezo wa raundi ya nne ya kombe la FA maarufu kama Azamsports Federation Cup. Yanga watakua nyumbani wakiwakaribisha Tanzania Prisons katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi saa moja jioni mchezo unaotarajiwa kuwa wa upinzani wa hali ya juu kutokana na...
1 2 3 4 9
Page 2 of 9