Mshindi wa michuano hiyo ndio ataiwakilisha nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Hivyo ni wazi vilabu vya Azam Fc na Singida Big Stars vitaendelea kukabana koo ili kupata ushindi na kupata nafasi ya kuwakilisha nchi Kimataifa
Shirikisho la soka nchini linatarajiwa kuendesha droo ya robo fainali pia kutaja uwanja utakaotumika katika michezo ya fainali na nusu fainali mapema mwezi huu.
Kwaupande wake Nahodha wa KMC FC Sadalah Lipangile amesema kama wachezaji wanatambua umuhimu wa mchezo huo huku akiwasihi mashabiki kutokukata tamaa kwasababu bado wana nafasi ya kufanya vizuri
Klabu ya soka ya Yanga leo jioni itashuka dimbani katika mchezo wa raundi ya nne ya kombe la FA maarufu kama Azamsports Federation Cup. Yanga watakua nyumbani wakiwakaribisha Tanzania Prisons katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi saa moja jioni mchezo unaotarajiwa kuwa wa upinzani wa hali ya juu kutokana na...
Mbrazil huo pia amesema kwa kiasi kikubwa watatumia wachezaji ambao wamekua hawapati nafasi katika kikosi cha kwanza kutokana na jinsi ratiba ilivyowabana.