Maandalizi ya Afcon: Stars kukipiga na Misri
Baada ya timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kufuzu michuano ya Mataifa ya Africa tayari TFF imeshaanza maandalizi ili tuwe na ushiriki mzuri katika michuano hiyo.
Baada ya timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kufuzu michuano ya Mataifa ya Africa tayari TFF imeshaanza maandalizi ili tuwe na ushiriki mzuri katika michuano hiyo.
Goli likifungwa na likazua utata, hasa kabla ya kufungwa, VAR hutumika kujua kama kuna usahihi wa goli hilo hasa kwa kutazama kama ni Offside au yalitendeka madhambi (Man City vs Tottenham)
Haya ni maoni ya Mwanakandanda, tupe maoni yako pia katika sehemu ya maoni.
Makundi ya AFCON 2019 yameshapangwa na Tanzania ikitupwa kundi C lenye Senegali, Algeria na Kenya
#NaniAtavaaJeziYaBlue? itakuwa inadokeza kwa ufupi tu nani ambaye anaweza kujumuishwa katika kikosi cha Stars kuelekea AFCON. Huu ni mtazamo tu.
Vyombo mbalimbali vya habari nchini Morocco vimeripoti kwamba….Stori zaidi.
Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) siku ya….Stori zaidi.
Ushindi wa Timu ya soka ya Taifa ya….Stori zaidi.
March 24 kua ni siku kuu ya furaha katika maisha yangu ya soka.
Kipi kinatakiwa kufanyika kabla ya kwenda Misri kwaajili ya michuano hii…