Wapinzani wa Simba wamaliza Ligi kibabe
wamemaliza ligi kwa ushindi wa mabao mawili kwa sifuri na hivyo kujihakikishia nafasi ya kucheza Europa League.
wamemaliza ligi kwa ushindi wa mabao mawili kwa sifuri na hivyo kujihakikishia nafasi ya kucheza Europa League.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetangaza….Stori zaidi.
Kiungo John Obi Mikel amethibitisha kwamba ataitumikia timu….Stori zaidi.
Kiungo wa zamani wa timu ya Taifa ya….Stori zaidi.
Ikumbukwe Sevilla sc mabingwa mara 5 wa Europa League wanakuja kucheza Tanzania kwa mara ya kwanza wakiletwa kwa udhamini wa Sportpesa walio na uhusiano mzuri na uongozi wa Laliga nchini Hispania.
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Soka….Stori zaidi.
Kiungo anayeondoka Manchester United Ander Herrera amesema kocha….Stori zaidi.
Miraj Athuman, jezi namba 7 miongoni mwa namba maarufu duniani, ndiyo anayoivaa akiwa katika klabu yake ya Lipuli Fc.
Magoli ya Lipuli yalifungwa na Paul Nonga na mshambuliaji aliyeitwa kwa mara kwanza katika kikosi cha Stars, Miraj Athumani.
Lipuli fc imefanikiwa kuifunga Yanga sc na kukata tiketi ya kwenda fainali kumenyana na Azam fc mkoani Lindi baada ya kuifunga mabao mawili kwa sifuri.