Mo awapa utajiri wachezaji Simba wakiing’oa As Vita
Mohammed Dewji
“kwa wachezaji 28 na bechi la Ufundi iwapo klabu.”
Mohammed Dewji
“kwa wachezaji 28 na bechi la Ufundi iwapo klabu.”
Pengine kiwango hafifu alichokionyesha beki Paul Bukaba katika mchezo dhidi ya JS Saoura.
Sio hao tuu lakini kina Wawa na Juuko wakati wa mipira ya adhabu na kona mkivitumia vichwa vyenu kwa ufasaha zaidi
Je rekodi ipi ambazo Cristiano Ronaldo aliziweka baada ya kufunga hat trick dhidi ya Atletico Madrid katika mchezo wa jana?
Inawezekana baada ya vilabu vya Uhispani kutawala kwenye….Stori zaidi.
Mimi naamini kwa morali tuliyonayo wachezaji pamoja na mbinu za mwalimu (Patrick Aussems)
Ushindi ni lazima! Lakini kila mtu katika nafasi yake lazima atimize majukumu yake.
Je tumtegemee swaiba wake Said Hamis Ndemla kupewa eneo la kati na kulitendea haki?
Timu ya soka ya Liverpool inatakiwa kujiandaa kiume….Stori zaidi.
Mpaka sasa ana goli moja tu katika mechi tano alizocheza msimu za ligi ya mabingwa barani ulaya.