Jana Bernard Morrison aliinusuru timu yake ya Yanga kutofungwa na Mbeya City katika mchezo ambao ulifanyika katika siku ya kuzaliwa kwao wakiwa wanasherehekea miaka 85 tangu timu ianzishwe.
Katika ziara ya mechi za kirafiki zilizochezwa Mwanza , Molinga "Falcao" amefanikiwa kufunga magoli 3 katika mechi mbili alizocheza, goli lake la kwanza alilifunga dhidi ya Pamba fc na jana amefanikiwa kufunga magoli mawili dhidi ya Toto Afrika katika mchezo ambao Yanga wamefunga goli 3-