Kauli ya Katwila kuelekea mechi ya ligi dhidi ya Tanzania Prisons.
Mchezo kati ya Tanzania Prisons na Mtibwa Sugar utafanyika kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.
Mchezo kati ya Tanzania Prisons na Mtibwa Sugar utafanyika kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.
Rishald ameongeza kuwa nafasi kubwa ya kuonesha nia ya kutaka kubaki ipo kwenye mchezo wa Jumanne hii dhidi ya Mtibwa Sugar utakaofanyika kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Afisa habari wa Mtibwa Sugar Thobias Kifaru Ligalambwike amesema msafara umeondoka ukiwa na matumaini makubwa ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo, ukizingatia mchezo uliopita waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Azam FC.
Kikosi cha Azam kinatarajiwa kuondoka jijini Dar es….Stori zaidi.
Kiungo mshambulizi wa Mtibwa Sugar FC, Haroun Chanongo amesema wanafahamu wanakabiliwa na kazi kubwa dhidi ya KCCA FC katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya Caf Confederations Cup.
Kocha wa makipa wa timu ya soka ya….Stori zaidi.
Wakata miwa wa Mtibwa Sugar wameendeleza ubabe wao….Stori zaidi.
Michuano ya Kimataifa imerudi tena mwanangu na wawakilishi….Stori zaidi.
Mara nyingi tumezoea mtu unapofanya kazi basi utalipwa,….Stori zaidi.
Klabu ya soka ya Mtibwa Sugar imewashukuru watanzania….Stori zaidi.