Hawa Wachambuzi wa Mpira wa Nchi hii kila mtu ana namna yake ya kujitafutia Ugali wake! Wengine wanatafuta kwa njia za kawaida wengine wanatafuta kwa njia ya kuchafua taswira ya wengine
Ikiwa ana msimu mmoja tuu na Simba akijiunga nao akitokea Teungueth ya nchini kwao Senegal ameonekana kuwa moja ya nyota tishio kwa Wekundu wa Msimbazi.
Pia inaleta hofu kubwa kuelekea Afrika Kusini, tunajua kuna uhalifu mkubwa na tunaelewa changamoto zinazowakabili wananchi wa Afrika Kusini kwa sasa hivyo unaanza kuhoji aina ya mapokezi ambayo unaweza kupata
Simba anapaswa kijiandaa vyema kukabiliana na mpinzani wenye sifa ya kushinda au kulazimisha sare ugenini ile imani ya kwa Mkapa hatoki mtu isiwe sababu ya msingi.