Raha ya Goli la Mbali
Mpwa wenu nawapa Taifa stars 75% kufuzu makundi, ila tujitokeze kwa wingi “kuanikiza” ushindi siku ya Jumapili.
Mpwa wenu nawapa Taifa stars 75% kufuzu makundi, ila tujitokeze kwa wingi “kuanikiza” ushindi siku ya Jumapili.
Hii hapa mpwa wangu nimekuletea zawadi hii kutoka Bujumbura kuhusu wachezaji walivyocheza, twende sasa..
Mpira wa Afrika una mambo mengi, hivi ndivyo walivyotaka Taifa Stars ibanane ndani ya basi hili.
Tanzania itacheza leo dhidi ya Burundi na kauli mbiu hii kama imeshapuuziwa na Burundi, basi ilete maana sasa ndani ya uwanja zaidi.
Kwa upande wa Taifa Stars, wao wapo tayari nnje na ndani ya uwanja pia. Tayari kabisa kwa mchezo wa leo.
Tanzania, Taifa Stars, itaanza kampeni yake ya kutafuta Tiketi ya kombe la dunia 2022 dhidi ya Burundi, pitia kuwafahamu wachezaji hatari
akifanya vizuri kwa nafasi yake na mimi nitakuwa nimefanya vizuri, mimi nikifanya vizuri kwa nafasi yangu, naye atakuwa amefanya vizuri kwa kuwa wote lengo letu ni kuifikisha Simba kule inakokutaka..”
Katika orodha hii, kuna sura ngeni akiwemo Salim Aiyee huku wengine wakiachwa kutoka katika kikosi cha Amunike cha awali.
Jezi mpya ya Tanzania imezinduliwa na itatumiwa na timu zote za Taifa kwa upande wa mpira wa Miguu nchini.
Uitwaji wa Kikosi cha Stars na jinsi kikosi hicho kinavyocheza, wadau wa soka wamekuwa wakimlaumu Amunike, na wengine kusema ilibidi aondoke baada ya kufuzu tu. Je hiki kisa unakikumbuka?