Mechi ngumu funga Ligi Kuu
igi Kuu Tanzania Bara imeshapata bingwa wake, Mabingwa mara 28 wa kombe hilo,Yanga SC. Zifuatazo ni mechi ambazo zinachezwa siku ya alhamisi kwaaajili ya kufunga Ligi Kuu.
Huyu ndiye mchezaji wangu wa msimu
Tuandikie jina lake na kwanini unadhani anastahili kuwa mchezaji bora wa msimu.