Zifahamu mbinu za ‘Siri ya Urembo’ za Simba Sc
Adui yako unamuangalia kwa jicho la usoni 'la mbali' au jicho la usoni 'la mbali'? Mtandao wetu unakupa hili la mbali, hebu tazama hii.
SIMBA DAY na WIKI YA WANANCHI zifanyike KENYA
Ni matamasha ambayo yalishika hisia kubwa sana hapa nchini na nje ya nchi. Watu wengi waliyaongelea katika mlengo chanya nje na ndani ya nchi yetu.
Meneja: Hakuna aliefika bei kwa Mwamunyeto.
Kama mchezaji mzawa yupo vizuri apewe haki yake tusifanye biashara kwa kujuana. Mpira hauna siri uwezo wa Bakari unaonekana uwanjani.
Nchimbi yupo, na kapata kiatu chake tayari
Ditram Nchimbi aka Duma 29 amekabidhiwa kiatu chake ikiwa ni sehemu ya kusheherekea na wachezaji wanaofunga mabao mengi kwa mwezi.
Jezi za taifa stars yazinduliwa
Jezi ya Taifa Stars ambayo itatumika na timu zote za Tanzania. Blue- Nyumbani na Njano-Ugenini.
Kuanza kupatikana leo katika maduka ya michezo.
Ni kweli Wachezaji wa zamani wana vipaji vikubwa kuliko wa sasa?
Wewe unaonaje kauli hii kama mdau mkubwa wa soka nchini? Unakubaliana nayo au unapingana nayo kwa sababu zipi ?
Azam Fc ni mabingwa wa fainali ya shirikisho
Azam Fc itawakilisha Tanzania katika michuano ya Ligi ya Shirikisho Afrika
Ajib, Miraji, Adi waitwa timu ya Taifa
Kocha wa timu ya Taifa, Amunike, ameita kikosi chake kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri.
Tulimsubiri Messi, ghafla tukaletewa Scott McTominay
Scott McTomminay ambaye alifanikiwa kucheza mipira yote ya juu katika mchezo wa jana tena kwa utulivu mkubwa.
Hiki ndicho kilichosababisha ALLY ALLY kujifunga.
Jana kulikuwa na mechi ambayo ilikuwa na ushindani mkubwa, Yanga dhidi ya KMC. Mechi hii ilikumbwa na tukio moja ambalo...