Ligi KuuZifahamu mbinu za ‘Siri ya Urembo’ za Simba ScSekwao Mwendi4 years agoAdui yako unamuangalia kwa jicho la usoni 'la mbali' au jicho la usoni 'la mbali'? Mtandao wetu unakupa hili la mbali, hebu tazama hii.
BlogSIMBA DAY na WIKI YA WANANCHI zifanyike KENYAMartin Kiyumbi4 years agoNi matamasha ambayo yalishika hisia kubwa sana hapa nchini na nje ya nchi. Watu wengi waliyaongelea katika mlengo chanya nje na ndani ya nchi yetu.
UhamishoMeneja: Hakuna aliefika bei kwa Mwamunyeto.Thomas Mselemu4 years agoKama mchezaji mzawa yupo vizuri apewe haki yake tusifanye biashara kwa kujuana. Mpira hauna siri uwezo wa Bakari unaonekana uwanjani.
Ligi KuuNchimbi yupo, na kapata kiatu chake tayariMwandishi Wetu4 years agoDitram Nchimbi aka Duma 29 amekabidhiwa kiatu chake ikiwa ni sehemu ya kusheherekea na wachezaji wanaofunga mabao mengi kwa mwezi.
BlogJezi za taifa stars yazinduliwaThomas Mselemu5 years agoJezi ya Taifa Stars ambayo itatumika na timu zote za Tanzania. Blue- Nyumbani na Njano-Ugenini. Kuanza kupatikana leo katika maduka ya michezo.
BlogNi kweli Wachezaji wa zamani wana vipaji vikubwa kuliko wa sasa?Martin Kiyumbi5 years agoWewe unaonaje kauli hii kama mdau mkubwa wa soka nchini? Unakubaliana nayo au unapingana nayo kwa sababu zipi ?
ASFCAzam Fc ni mabingwa wa fainali ya shirikishoThomas Mselemu5 years agoAzam Fc itawakilisha Tanzania katika michuano ya Ligi ya Shirikisho Afrika
BlogAjib, Miraji, Adi waitwa timu ya TaifaMwandishi Wetu5 years agoKocha wa timu ya Taifa, Amunike, ameita kikosi chake kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri.
BlogTulimsubiri Messi, ghafla tukaletewa Scott McTominayMartin Kiyumbi5 years agoScott McTomminay ambaye alifanikiwa kucheza mipira yote ya juu katika mchezo wa jana tena kwa utulivu mkubwa.
Ligi KuuHiki ndicho kilichosababisha ALLY ALLY kujifunga.Martin Kiyumbi5 years agoJana kulikuwa na mechi ambayo ilikuwa na ushindani mkubwa, Yanga dhidi ya KMC. Mechi hii ilikumbwa na tukio moja ambalo...