Amunike aliwezaje kufunga magoli?
Mpaka sasa unajua kuwa Stars ya Ettiene imefunga magoli mawili tu katika dakika 90 katika mechi tano.
Mpaka sasa unajua kuwa Stars ya Ettiene imefunga magoli mawili tu katika dakika 90 katika mechi tano.
Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ambapo amesema jukumu la kuthibitisha shitaka kwa washitakiwa ni la upande wa mashitaka
Licha kwamba timu yake ya KRC Genk imepoteza kwa kipigo kikubwa cha 6-2 kutoka kwa Salzburg, hizi ni rekodi zake.
Eneo ambalo halimuoneshi rangi yake halisi kabisa ambayo wengi wanaijua. Rangi ya kutengeneza nafasi nyingi za magoli, rangi ya kufunga magoli mengi.
Matokeo ya leo hayana tofauti na matokeo ya mchezo wa hatua ya awali kati ya Yanga dhidi ya Township Rollers mchezo uliopigwa uwanja wa Taifa ukiisha kwa sare ya bao 1-1
Mirambo amesema kuna orodha ndefu ya makocha ambao wanaitaka kazi hiyo, na Ettiene ni mojawapo wa watu wanaoangaliwa na Shirikisho ili kupata nafasi hiyo.
Katika ziara ya mechi za kirafiki zilizochezwa Mwanza , Molinga “Falcao” amefanikiwa kufunga magoli 3 katika mechi mbili alizocheza, goli lake la kwanza alilifunga dhidi ya Pamba fc na jana amefanikiwa kufunga magoli mawili dhidi ya Toto Afrika katika mchezo ambao Yanga wamefunga goli 3-
Kwa maoni yako nani Tanzania one sasa? Manula au Kaseja? Ingia upoge kura yako hapa
Adi amecheza mechi moja tu akiingia kutokea benchi tangu alipoitwa kwa mara ya kwanza na aliyekuwa kocha wa Taifa Stars, Amunike.
Kila mtu sasa mpenzi wa kandanda nchini anaimba, Kaseja! Kaseja! Kaseja!. Ni baada ya kufanya kile ambacho hufanya muda wote.