Wachezaji watano hatari AFCON -U17
Hivi hapa ni vipaji vitano ambavyo vinaonekana ni bora na hatari katika michuano hii.
Hivi hapa ni vipaji vitano ambavyo vinaonekana ni bora na hatari katika michuano hii.
Kelvin John alikuwa mfungaji bora wa mi chuano ya CECAFA kwenye michuano ya vijana walio chini ya umri wa miaka 17.
Barua ya Simba bado haijajibiwa na CAF kuhusu mwamuzi kubadilishwa.
Tusiwalaumu kabisa. Najua jana John Bocco alikosa nafasi tatu za wazi ikiwemo penati. Nafasi ambazo zinaweza kumgombanisha na mashabiki.
Wanatakiwa kufa wakiwa wanatabasamu. Wamefanya kazi ambayo ni kubwa.
Unatakiwa ujue kucheza ugenini. Hapa ndipo jina la Pierre Lenchantre linapokuja kichwani mwangu.
Mwanzoni mwa msimu kulikuwa na mjadala mkubwa sana kuhusiana na upana wa kikosi cha Simba. Mjadala ambao kwa kiasi kikubwa ulianzishwa na Haji Manara.
Yanga ilifanikiwa kushinda kwa mikwaju ya penati, Kindoki akiibuka shujaa siku hiyo.
Simba Sc atakuwa akikutana na Mbao Fc katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, pitia kuangalia nini kinaipa nafasi Mbao FC
Yanga na Lipuli watakutana katika hatua ya nusu fainali baada ya Yanga kuitoa Alliance Schools kwa changamoto ya mikwaju ya penati.