Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Ligi Kuu

Uchambuzi wa mechi ya Yanga na Njombe Mjini

Leo Yanga walianza na mfumo wa 4-3-3 baadaye walibadirika na kuanza kucheza 4-4-2 na Njombe mji wakicheza mfumo wa 4-4-2. Kwa kipindi cha kwanza Njombe mji walicheza vizuri wakati wakiwa na mpira kuanzia eneo la nyuma mpaka katika eneo la katikati. Walipokuwa na mpira waliweza kusogea mpaka eneo la karibu...
EPL

Sura ya Conte inaonesha kesho yake

Jana Antonio Conte alirudi kwenye mfumo wake wa msimu uliopita wa 3-4-3, mfumo ambao ulimpa ubingwa lakini msimu huu akawa anautumia mara chache kwa kuhamia katika mfumo wa 3-5-2. Jana wakati anautumia mfumo wa 3-4-3, kwenye karatasi ulionekana mfumo ambao unafanana na mfumo uliompa ubingwa msimu jana, lakini kiuhalisia kulikuwa...
EPL

Licha Ya Arsenal Kushinda, Bado Ina Mapungufu

Jana tulishuhudia Pierre-Emirick Aubameyang akicheza mechi yake ya kwanza akiwa na jezi ya Arsenal. Mechi hii Pierre-Emirick Aubameyang alifanikiwa kufunga goli akipokea pasi kutoka kwa Henrikh Mkhitaryan ambaye alitoa pasi tatu za magoli kwenye mechi hii. Mechi hii Arsenal alicheza katika mfumo wa 4-2-3-1, mfumo ambao ulimwacha Pierre-Emirick Aubameyang kuwa...
EPL

Sajili Bora za Dirisha Dogo Msimu huu

Dirisha dogo la usajili lilifungwa tarehe 31 mwezi uliopita na kushuhudia timu mbalimbali zikinunua na kuuza baadhi ya wachezaji. Hawa ni baadhi ya wachezaji bora kusajiliwa na timu mbalimbali, na jinsi ambavyo watazisaidia timu zao katika mifumo tofauti. Alexis Sanchez, Ametoka Arsenal na kujiunga katika timu ya Manchester United. Msimu...
EPL

Kifo Cha Man U Wembley Kilianzia Hapa.

Kipi kilichosababisha Manchester United washindwe? Usiku wa kuamkia leo Manchester United walienda katika uwanja wa Wembley kama wageni wa Tottenham Hotspurs. Uwanja ambao walikuwa hawajawahi kufungwa tangu mwaka 2011 ambapo walifungwa na Barcelona 3-1 katika fainali ya ligi ya mabingwa. Baada ya hapa walishinda mechi 6 huku kila mechi wakifunga...
Ligi Kuu

Emmanuel Martin karidhika, Mwashiuya hana hasira

Geofrey Mwashiuya, alitingisha nchi kipindi cha usajili wake, kijana mdogo kutoka Mbozi ambaye aliifanya mitaa ya Kariakoo kuhamia kwa muda mjini Mbozi. Kila jicho kutoka karikakoo lilimwangalia kwa jicho la matamanio, watu wa Mbozi nao wakawa na viburi baada ya kuona kiwango cha tamaa kimezidi kwa kijana huyu. Kila aliyekuwa...
Ligi Kuu

Siri ya kwanza ni Yanga kukubali kuwa “underdogs”

Leo Yanga wamefanikiwa kuifunga Azam Fc ambayo ilikuwa haijapoteza mechi yoyote msimu huu. Yanga leo kwenye karatasi ilionekana itacheza mfumo wa 4-3-3 lakini uwanjani ilikuwa tofauti kwa sababu walikuwa wanacheza 4-5-1 na 4-2-3-1. Wakati Azam Fc walianza na mfumo wa 4-4-2 baadaye wakaja kucheza 4-1-4-1 na mwishoni wakarudi kwenye mfumo...
EPL

Jezi namba 7 itakuwa nzito au nyepesi kwa Sanchez?

Jana zilipatikana dakika 72 za kwanza za Alexis Sanchez. Dakika 72 ambazo zilimwezesha awe mchezaji bora wa mechi ya jana ya FA CUP dhidi ya Yeovil Town. Hii inatoa tafasri moja, ulikuwa mwanzo mzuri wa Sanchez ikizingatia kila jicho lilikuwa linamtazama yeye kila aliposhika mpira. Lakini hofu aliishusha chini, akawa...
Ligi Kuu

Hiki ndicho kikosi cha pamoja cha Azam FC vs Azam

Azam Fc itamkaribisha kwa mara ya kwanza Yanga katika uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex Rekodi za mashindano yote kati ya hizi timu. Timu hizi zimekutana mara 31 kwenye mashindano yote. Yanga imeshinda mara 12, Azam FC imeshinda mara 11 na zimetoka sare mara 8. Yanga imefunga mabao 41...
EPL

Alaumiwe Sanchez au Arsenal?

Hatimaye Alexis Sanchez siyo mchezaji tena wa Arsenal, ni habari isiyofurahisha kwa mashabiki wa Arsenal lakini ndiyo ukweli wenyewe. Haijalishi unaumiza kiasi gani lakini unatakiwa kukubaliana nao. Kuondokewa na mchezaji muhimu katika kikosi chako. Mchezaji ambaye alikuja kuimarika zaidi katika kikosi chako lakini akakuacha na maumivu. Siyo mara ya kwanza...
1 74 75 76 77 78 79
Page 76 of 79