TUANDIKIE TUKUWEKEE KWENYE TOVUTI
Wewe ni Shabiki wa Kandanda? Unaandika makala? Iwe kwaajili ya Timu yako ya Nje au Ndani! Au maoni yako tu.
Tutumie habari@kandanda.co.tz tutaihariri na kuiweka katika tovuti ya kandanda.co.tz
#KandandaChat
Hii ni makala ya shabiki wa Yanga kutoka katika mitandao ya kijamii, tunaiwasilisha katika wakati huu Yanga ikisheherekea miaka 85 tangu kuanzishwa kwake.
Mgalatia Francis J. Lumeya, shabiki wa kandanda, anaangazia kwa maoni yake kile anachoamini kuwa kiliifanya klabu ya Simba ishindwe kushinda mchezo wa Jana. Kombe la Mapinduzi ni la kwanza kila mwaka Tanzania.