Kaseja kakataa kuwa Kaseke, akakataa kuwa Singano, akabaki kuwa Kaseja
Sitaki kutaka maji mengi ya watu. Jikumbushe kuhusu Said Bahanuzi. Nani anajua aliko? Binafsi sijui kama kaacha soka au anafanya kazi gani.
Sitaki kutaka maji mengi ya watu. Jikumbushe kuhusu Said Bahanuzi. Nani anajua aliko? Binafsi sijui kama kaacha soka au anafanya kazi gani.
Kelvin aliondolewa katika awamu ya mwisho ya mchujo kupata wachezaji 23. Kuitwa pia kwake kumemuongezea nafasi ya kupata timu nje.
Winga huyo amewahi kuchezea timu ya vijana ya Simba sc hapo kabla, na amekuwa nguzo muhimu katika kampeni ya Ligi Kuu msimu uliopita kwa upande wa Lipuli Fc.
Hizi ni mechi za Tanzania ikiwa inavaa jezi mpya za Timu ya Taifa.
Toa maoni zadi katika tovuti yetu ukitumia hashtag #NimeisomaHii uisapoti Taifa Stars huko AFCON kwa jezi mojawapo ya Tanzania.
Golikipa huyo aliyevunja mkataba wake na Yanga kutokana na kutomaliziwa pesa zake za usajili, hali hii ilimfanya agomee mazoezi na Yanga.
Muda mrefu umepita tangu Juma Kaseja asiwe mmoja wa wachezaji wa timu ya taifa. Leo hii Tanzania inamshuhudia Aishi Manula kama golikipa namba` moja wa timu ya taifa.
Hati inayoshikiliwa na wazee wa Simba haiwezi kuzuia mabadiliko katika klabu hiyo. Bwana Magori.
Wewe vaa jezi ya Taifa Stars, hapa soma ukiwa umevalishwa pia kimtandao jezi hiyo hiyo ya Taifa Stars.
Nani unadhani anaweza kuchukua nafasi hii? Kandanda tunadhani Oscar Mirambo anaweza iongoza vema, soma utupe maoni yako pia.