Team Kiba 3 Team Samatta 6! Tazama picha hapa!
Mechi ya hisani kati ya nahodha wa timu ya Taifa Mbwana Samata na msaani maarufu wa Bongo flava na mchezaji wa Coastal Ally Kiba imepigwa leo katika uwanja wa Taifa na team Samata kuibuka wababe!
Mechi ya hisani kati ya nahodha wa timu ya Taifa Mbwana Samata na msaani maarufu wa Bongo flava na mchezaji wa Coastal Ally Kiba imepigwa leo katika uwanja wa Taifa na team Samata kuibuka wababe!
Hiki ndicho kinachouma, treble inaonekana kitu cha kawaida na Azam FC hawaumizwi na hiki kitu kabisa, Azam FC hawana timu ya masoko na chapa ya klabu?
Klabu ya Simba ambayo itashiriki michuano ya ligi ya mabingwa Afrika msimu ujao, inajiimarisha kuhakikisha inafanya vizuri zaidi.
Tovuti yetu imemkabidhi zawadi yake ya Galacha wa Magoli msimu wa 2018/2019, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wake katika upachikaji mabao.
Unaikumbuka picha ya pondamali na vazi lake ?. Kwa kifupi hakukuwepo na mpangilio mzuri wa mavazi kwa wachezaji na benchi nzima la ufundi.
Huwezi kuingia na kuishi kwenye dunia hii kama hujaruhusu akili kufikiria kibiashara, macho kuona kibiashara na masikio kusikia kibiashara.
Wanakandanda hawa wote walikuwa wa kwanza kutabiri mabao 23 ya Meddie Kagere.
Timu mbili ambazo zitacheza playoff (Michezo ya mitoano ) ni Kagera Sugar aliyeshika nafasi ya 18 na Mwadui FC aliyeshika nafasi ya 17.
Kwa kusajiliwa na Blackpool anakua mchezaji wakwanza kusainiwa na klabu hiyo kwa msimu huu wa usajili.
Timu ambayo ilikuwa inasubiriwa kushuka daraja kuungana na African Lyon imepatikana rasmi. Kagera Sugar ya Kagera imeshuka rasmi baada ya kutoka sare moja kwa moja na Mbao.