Lipuli yagawanyika kuelekea fainali ya Ilulu
Ratiba ambayo sio rafiki kwa upande wa Lipuli FC imebidi wafanye hivi ili kuipa umuhimu fainali yao itakayowapa tiketi ya kuwakilisha Tanzania katika michuano ya Afrika.
Ratiba ambayo sio rafiki kwa upande wa Lipuli FC imebidi wafanye hivi ili kuipa umuhimu fainali yao itakayowapa tiketi ya kuwakilisha Tanzania katika michuano ya Afrika.
Mchezaji huyo wa zamani wa Yanga, amedai kuwa kwa sasa imetosha kwake yeye kuendelea kucheza Afrika na anatafuta changamoto mpya.
Buildcon imefanikiwa kupata nafasi hiyo baada ya kushika nafasi ya pili katika ligi kuu ya nchini Zambia.
Taarifa ambazo tovuti yetu imezipata ni kwamba kilichomkwamisha Ajibu kwenda TP Mazembe ni biashara ambayo imefanywa kati ya Ajibu na Simba kabla ya ofa ya TP Mazembe kutua mezani kwa klabu ya Yanga.
Bado anajiona anataka kuendelea kukaa nyumbani, na amekataa kwenda sehemu ambayo inaweza kumwezesha yeye kushinda taji la ligi ya mabingwa barani Afrika.
Kutinyu ameripotiwa kujiunga na Horoya Fc, lakini uongozi wa Azam Fc umekanusha.
Kiungo huyo alikuwa akiitumikia awali timu ya Azam FC. Mpaka sasa haijajulikana makubaliano yoyote yaliyofikiwa
Ni mfumo unatoa nafasi 2 za wazi na nafasi 2 zilizojificha hizi ni za kuweka mazingira ya fair Play kwa wenye uwezo wafaidi.
Mabeki wa Simba hawajui kujipanga vizuri kwenye kuzuia mipira iliyokufa (kama kona na faulo) na wamekuwa wakifanya makosa mengi kwenye mipira iliyokufa.
Kwa wanaosema Ever Barnega ni mchezaji wa kawaida, wajue tu kuwa Leo Messi ana jezi ya Lanzine sasa sijui Barnega na Lanzini nani ni mchezaji maarufu na mkubwa.