Kocha Simba: Kesho sio mchezo wa kawaida.
Sven Vadebroek amesema mchezo wa kesho sio mchezo wa kawaida kutokana na kucheza na wapinzani wao wakubwa katika Ligi.
Sven Vadebroek amesema mchezo wa kesho sio mchezo wa kawaida kutokana na kucheza na wapinzani wao wakubwa katika Ligi.
Ama kwa hakika kwa Feisal amefufuka wakati muafaka haswa katika kulekea mchezo dhidi ya Simba na hivyo kumpa mwalimu uchaguzi mwingi katika eneo la kiungo.
Huku wengi wao wakiwa ni waamuzi wazoefu wakiwa wameshashiriki katika kuchezesha michezo hiyo ya Simba na Yanga.
David Molinga ameonekana kutokua nyuma katika vita hii huku akianza kujitutumua na kwa mara ya kwanza msimu huu Molinga.
Utamu wote huo ukahitimishwa na magoli saafi ya Erasto Nyoni, Deo Kanda na Meddie Kagere
Katika wachezaji nyota wanaoimbwa na mashabiki asilimia kubwa ni nyota wa kigeni huku wazawa wakiwa hawana nafasi katika midomo ya wapenda soka hao.
Wakati aa enzi zake Athumani Machupa alikua mshambuliaji hatari akiitumikia Simba huku akiwa na muunganiko wa hatari na Emmanuel Gabriel Mwakyusa “Batgol”.
Mchezo huo utatupa majibu ni nani atakaekua mbabe zaidi ya mwenzake katika ufundi na kuisaidia timu yake kutoka katika eneo la katikati ya uwanja.
Mpaka sasa KMC inashika nafasi ya 19 ikiwa imecheza michezo 24 ikiwa na alama 21. Mchezo unaofwata katika VPL ni KMC dhidi ya Simba katika uwanja wa Taifa.
Nimefarahi sana kwa hizi zawadi ni kitu kikubwa sana kwangu, nimepata kumbukumbu sahihi kwangu na kwa timu. Inshaalah nategemea kuendelea kufanya vizuri ili niweze kuisaidia timu