Unafuu wa Wenger ni zaidi ya udhaifu wa Emery!
Je huku EUROPA LEAGUE tutawatoa Valencia ambao jana walikuwa na kiwango kizuri vs Atletico Madrid licha ya kupoteza huko Laliga.
Je huku EUROPA LEAGUE tutawatoa Valencia ambao jana walikuwa na kiwango kizuri vs Atletico Madrid licha ya kupoteza huko Laliga.
Kwa mabao hayo ya Bocco na Okwi wanafanya wachezaji wa Simba wazidi kutawala katika chati ya ufungaji bora. Tazama wafungaji nane bora.
Lyon wamebakisha kucheza na Mbeya City mwanzoni mwa mwezi wa tano, kabla ya kuwakaribisha Mbao FC na Ndanda, baadae watasafiri kucheza na Mwadui mkoani Shinyanga na watamalizia nyumbani kwa kucheza na KMC.
Baada ya kushuhudia klabu ya soka ya Juventus….Stori zaidi.
Ukitazama mchezaji mmoja mmoja Simba wana wachezaji ambao ni bora kuzidi Alliance.
Sintofahamu hiyo ilianza baada ya Beno Kakolanya kugoma kushinikiza madai ambayo alikuwa anawadai Yanga
Msemaji wa klabu kongwe nchini Dar Young Africans,….Stori zaidi.
Kamati ya bodi ya ligi kuu ya Uendeshaji….Stori zaidi.
Kocha wa Simba Patrick Aussems amethibitisha kukosa huduma ya beki wake huyo.
Tumejifunza na tunataka kuwaonesha Simba kwa sasa uwanja huu na tutafanya vizuri kwenye mechi hii inabidi wajiandae.