EPL

EPL

Mechi zilizoipa ubingwa Man City mapema!

Manchester City ilianza harakati zake za ubingwa msimu huu kwa kudroo na Everton tena nyumbani Etihad kabla ya kurudi na kukaa sawa na kuifunga Bournemouth ugenini. Ligi ya Uingereza inayosifika kwa soka la kibabe na nguvu lilishindwa kufua dafu mbele ya Guardiola aliekuja na "soft football" na kutangaza ubingwa mapema...
EPL

Kipi wakifanye Manchester City washinde dhidi ya Liverpool?

Wiki iliyopita ilikuwa wiki ngumu sana kwa Pep Guardiola baada ya kupoteza michezo miwili kwa magoli sita (6) jumla, kazi kubwa waliyonayo leo ni wao kuhakikisha wanaifunga Liverpool kuanzia magoli 4-0 ili wafanikiwe kufuzu kwenda hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya. Manchester City wanaweza kufunga magoli...
EPL

Koti la Sir Alex Ferguson alilivaa Jose Mourinho Etihad

Baridi limevaa ngozi yangu hii imekuwa kawaida sana siku hizi asubuhi kuwa na baridi kutokana na mvua, mvua ambayo imetusahaurisha kuhusu joto la Dar es Salaam Joto ambalo limekuwa likitutesa kwa muda mrefu sana, mateso haya huwa ya nyakati fulani yenye majira ya joto. Ndipo hapa huwa napenda kusema kila...
EPL

Viatu vya Scott vimeficha pesa za Pogba

Muda huu kelele za pesa hazisikiki kwa kiasi kikubwa kama ilivyokuwa awali, mategemeo yetu yalikuwa makubwa sana baada ya kuamua kutumia pesa nyingi kununua pasi za mwisho, magoli na uwezo wa kukaba na kushambulia. Tuliamini pesa zimeleta mtu ambaye angekuwa na uwezo wa kusimama na kuonekana kama nembo kubwa ya...
EPL

Mourinho anaiangalia timu, sisi tunamwangalia Sanchez

Hapana shaka mwaka huu ulianza na mshindo mkuu, mshindo ambao ulitokea katika jiji la Manchester na kusambaa duniani. Kila sehemu duniani kote watu wengi walikamatwa hisia zao kutokana na usajili wa Alexis Sanchez. Hiki ni kitu cha kawaida sana kwa klabu kubwa kama Manchester United, klabu ambayo inajua kucheza na...
EPL

Mo Salah mwenye sura ya Kiarabu miguu ya Kiholanzi

SOKA ni mchezo unaoongozwa na historia huwezi kuiona thamani ya mchezo huu usiporudi katika historia, wengi wetu tumekuwa ni watu wakutoamini historia katika soka tukidhani kwamba ni kupoteza muda lakini si hivyo na tunavyo amini, maana mengi yanayofanywa sasa yanatoka katika historia za nyuma Tumeona wanasoka wengi ambao wanahitaji kuwa...
EPL

Kilichowaua Liverpool ndicho kilikuwa silaha ya Manchester United

Liverpool alicheza mfumo wa 4-3-3 na Manchester United katika karatasi alionekana kucheza mfumo wa 4-3-3 lakini uwanjani ilikuwa tofauti, wakati wanashambuliwa walikuwa wanacheza mfumo wa 4-2-3-1. Ila wakati wa kujilinda Manchester United walikuwa wanacheza mfumo wa 4-5-1. Kipi kiliwasaidia Manchester United wakati wanajilinda ? Moja ya makosa ambayo timu nyingi...
EPL

Jose ndani ya korti chafu la historia dhidi ya Klopp

Jose Mourinho anaweza kumaliza uteja kwa Jurgen Klopp? Alama mbili pekee zinawatenganisha hawa watu na wako kwenye vita ya kupigania nafasi ya pili mpaka sasa. Wanakutana katika uwanja wa Old Trafford, mechi ya kwanza walitoka suluhu. Jose Mourinho anamkaribisha tena Jurgen Klopp katika uwanja wake wa nyumbani, kipi kitakuwa nguvu...
EPL

Rashford waza kwa kuinama kisha inua sura tafakari kipaji chako

Hutokea mara chache sana kwa kijana chipukizi aliyeaminika na kutekeleza kile ambacho kocha alikitarajia, na vile vile hutokea mara chache sana kwa kocha kuendeleza kiwango cha chipukizi mwenye kipaji halisi cha soka . Akiwa na umri wa miaka 18 kwenye kombe la Dunia mwaka 1998 nchini Ufaransa, kocha wa timu...
EPL

Kilichopo kwenye sura ya Chamberlain ndicho wanachokosa Arsenal

Wengi tulimshangaa kuona anaihama Arsenal na kwenda Liverpool. Macho yetu yalituonesha anatoka kwenye timu ambayo ana nafasi kubwa ya kupata nafasi na kwenda sehemu ambayo upatikanaji wa nafasi ulikuwa finyu kwa sababu kulikuwa na wachezaji ambao walionekana wana kiwango kikubwa zaidi yake. Sehemu ya kiungo cha katikati alipokuwa anataka kucheza...
1 10 11 12 13 14 15
Page 12 of 15