EPL

EPL

Uongozi Arsenal wataja sababu za kumteua Unai Emery

Uongozi wa klabu ya soka ya Arsenal umetoa ufafanuzi wa kwanini wameamua kumteua kocha Unai Emery kuchukua mikoba ya kocha Arsene Wenger ambaye ameondoka klabuni hapo msimu huu licha ya Mikel Arteta kupewa nafasi kubwa zaidi. Stan Kroenke ambaye anamiliki hisa kubwa zaidi katika klabu hiyo yenye maskani yake jijini...
EPL

Kane kuongoza Simba watatu

Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane, ametangazwa kuwa nahodha mpya wa kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza kwa ajili ya michuano ya Kombe la Dunia huko Urusi mwaka huu Kocha Gareth Southgate, amemteua Kane kuchukuwa nafasi hiyo kufuatia kutoa mchango mkubwa kunako klabu yake msimu huu Kane, ameteuliwa zikiwa...
EPL

Owen: Salah anastahili tuzo ya Ballon d’Or

Mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or na mchezaji wa zamani wa klabu ya Liverpool na timu ya Taifa ya England Michael Owen amesema Mohamed Salah anapaswa kuchukua tuzo ya Ballon d’Or kwa mwaka 2018 kama Liverpool itachukua kombe la Klabu bingwa Ulaya. Owen akihojiwa na kituo cha Omnisport  katika kipindi...
EPLUhamisho

Mkali wa mabao, akubali kutua Manchester United

Klabu ya Manchester United inakaribia kumsajili kiungo mshambuliaji raia wa Brazil, Anderson Talisca katika majira haya ya joto, jarida la Sportwitness la Uturuki limeripoti. Kiungo huyo wa Benfica ya Ureno yupo nchini Uturuki kwa mkopo katika katika klabu ya kandanda ya Besitkas Kwa misimu miwili sasa. Taarifa zinasema Kocha wa...
EPL

Kocha wa zamani wa Chelsea, ashauri Hazard auzwe

Kocha wa zamani wa Chelsea, Steve Clarke ameishauri timu yake kufikiria kumuuza mshambulijai wao Eden Hazard ili kupata fedha za kutumia kununua wachezaji wengine katika usajili wa majira ya joto. Akizungumza na kipindi cha redio cha Shirika la utangazaji la Uingereza BBC, Clarke ambaye alikuwa kocha msaidizi kwa kipindi cha...
EPL

Allegri aingia katika rada za Arsenal

IMASSIMILIANO Allegri ameunganishwa katika orodha ya makocha ambao wanahitajika kuchukua nafasi ya Arsene Wenger, pindi atakapo achana na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu Juventus ina karibia kushinda Scudetto kwa msimu wa saba mfululizo, na ikimuacha Napoli nyuma ya pointi sita. Lakini uvumi ambao unaendelea unasema kwamba Allegri anaweza kuondoka...
EPL

Jurgen Klop kuendeleza ubabe wake kwa Chelsea?

Liverpool wanakwenda Stamford Bridge kuvaana na wenyeji wao Chelsea, katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza maarufu kama EPL, Liverpool wanaonekana wapo kwenye kiwango bora kwa sasa, lakini hii leo watatakiwa kudhihirsha ubora wao pale darajani Chelsea wanaikaribisha Liverpool baada ya kushindwa kutetea ubingwa wao wa ligi, ikiwa ni baada...
EPL

Muda umempa uhalisia ambao Wenger hakuutegemea.

Kuna mengi sana hutokea kwenye maisha tofauti na mategemeo yetu. Maumivu huwa vazi letu kipindi tunapopata matokeo yaliyotofauti na mategemeo yetu. Kuna vingi huvitegemea na kuvisubiri kwa hamu vitokee ili vikamilishe furaha yetu lakini muda huja na uhalisia ambao hugeuka kuwa ukweli. Uhalisia ambao huonekana mchungu, uchungu ambao hugeuka kuwa...
EPL

Utawala wa Wenger wafikia kikomo.

Baada ya kukaa miaka 22 katika klabu ya Arsenal, kocha Arsene Wenger leo kupitia ntandao wa klabu ya Arsenal katangaza rasmi kuwa mwishoni mwa msimu huu hatokuwa kocha wa Arsenal tena. Arsene Wenger alichaguliwa kuwa kocha wa Arsenal tarehe 1 October mwaka 1996, ndiye kocha aliyedumu muda mrefu katika ligi...
1 9 10 11 12 13 15
Page 11 of 15