Ligi Kuu

Ligi Kuu

Yanga SC yatangaza tarehe mpya ya mkutano mkuu wa Wanachama

Klabu ya Yanga imetangaza mabadiliko ya tarehe ya mkutano mkuu wa wanachama ambapo sasa umepangwa kufanyika Juni 10, mwaka huu Awali mkutano huo, ulipangwa kufanyika Juni 17, lakini sasa mabadiriko hayo yanaurudisha nyuma kwa wiki moja Akiongea na mwandishi wa tovuti ya Kandanda Katibu wa matawi ya Yanga, Boaz Kifukwe,...
Ligi KuuUhamisho

Mo Ibrahim kwenda Yanga kwa mkwanja mrefu!

Kiungo mshambuliaji wa Simba Mohamed Ibrahim "Mo" anakaribia kujiunga na Yanga sc akitokea kwa mahasimu wao  Simba sc mwishoni mwa msimu huu. Mkataba wa Mo Ibra na Simba unaisha mwisho wa msimu huu hivyo yupo huru kuongea na timu yoyote inayotaka huduma yake. Na hivyo kuipa nafasi klabu ya Yanga ...
Ligi Kuu

Aliye karibu na Kichuya amng’ate sikio ‘fastaaa’.

Misimu miwili imeshakamilika akiwa katika ardhi yenye udongo mwekundu, udongo ambao upo kwenye mbuga ya msimbazi, mbuga pekee yenye mnyama mmoja yani Simba. Mbuga hii ina malisho ambayo yana unafuu kuzidi mbuga zingine za mikoani, ndiyo maana wengi wa wachezaji hutamani sana kuishi kariakoo wakiamini ni sehemu yenye unafuu mkubwa...
Ligi KuuUhamisho

Ngoma, Pluijm kukutana Chamazi

Taarifa zinaeleza kuwa matajiri wa Azam FC, wamemalizana na aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Dombo Ngoma kwa kumsainisha mkataba wa mwaka mmoja Mwanzoni mwa juma lililopita ililipotiwa kuwa, Yanga imesitisha mkataba wa mshambuliaji huyo kutokana na kuwa majeruhi wa muda mrefu hali iliyopelekea kushindwa kupata huduma ya mchezaji huyo...
Ligi Kuu

Beki wa Stand United akanusha kuzungumza na Azam, Yanga

Beki wa pembeni wa Stand United Miraji Makka amekanusha tetesi za kuhusishwa kujiunga na timu za Azam na Yanga na kusema kwamba mpaka sasa hakuna timu yoyote kati ya hizo ambazo zimemfuata kutaka kuzungumza naye. Akizungumza na mtandao huu akiwa anajiandaa kwa ajili ya kucheza na Ndanda katika mchezo wa...
Ligi Kuu

Shabani Idd atupia tatu Prisons ikilalaa Chamanzi!

Klabu ya AzamFc imeendelea kufanya vizuri katika Ligi Kuu Bara baada ya kufanikiwa kuifunga Tanzania Prisons katika dimba la Chamanzi. Azamfc wamefanikiwa kupata ushindi mnono wa mabao manne kwa moja dhidi ya Tanzânia Prisons na kuzidi kujiweka katika nafasi nzuri ya kupigania nafasi ya pili mbele ya YangaSc. Magoli ya...
Ligi Kuu

Dilunga alizamisha jahazi la Njombe Mji

Timu ya soka ya Njombe Mji italazimika kupata ushindi katika mchezo wao mwisho wa ligi ili kujihakikishia kusalia ligi kuu soka Tanzania Bara baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi uliopigwa leo mjini Njombe. Njombe Mji ambao walicheza vizuri wakikosa nafasi nyingi...
Ligi Kuu

Nilichojifunza kwenye kipigo cha Simba dhidi ya Kagera Sugar.

Leo hii Simba ilikuwa inacheza mechi ambayo wangekabidhiwa kombe lao , furaha kubwa kwao ilikuwa ni kukabidhiwa kombe wakiwa hawajafungwa hata mechi moja kwenye ligi kuu lakini Juma Kaseja akaharibu matamanio yao. Kipi nimejifunza kwenye mechi hii? 1: Hapana shaka Watanzania tunapenda matukio ya muda mfupi na siyo matukio ya...
1 77 78 79 80 81 94
Page 79 of 94