MUSSA Hassan Mussa Mgosi amerudi tena uwanjani baada ya miezi kadhaa kujitokeza uwanja Taifa kulikokuwa kumetamalaki mashabiki wa Simba na kuchukua kipaza sauti na kusema ameamua kustahafu soka. Japo nilikuwa mbali na Mgosi alipokuwa akizungumza maneno yale, lakini alionekana kama mtu aliyestahafishwa sio kustahafu kwa matakwa yake. Alitoa chozi la...
Taarifa hii ni kutoka katika klabu ya Lipuli Fc. Uongozi wa LIPULI FC unapenda kutoa taarifa kwa wanachama, mashabiki na wapenzi wake juu ya hatma ya mchezaji Asante Kwasi ambaye toka kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu amekuwa mchezaji halali wa LIPULI FC lakini ktk siku za hivi...
Lipuli FC, yenye maskani yake katika mji wa Iringa, imekanusha kwa nguvu zote kuhusiana na uvumi wa beki wao kisiki Asante Kwasi kuhusu kuachana na klabu hiyo. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Uongozi wa timu ya Lipuli Fc ya mkoani Iringa unapenda kuchukua wasaa huu kukanusha uwepo wa mazungumzo ya...
KELELE za Donald Ngoma zimekuwa nyingi mitaa ya Jangwani. Dakika moja mwanachama huyu anazungumza hivi, dakika nyingine mwanachama yule anazungumza vile. Ngoma ndio ajenda kuu kwenye mazungumzo ya Yanga wakati huu. Kalamu yangu inayomalizia saa chache huku fungate nayo imeshitushwa na Ngoma. Mjadala wake umetikisa hadi makundi ya WhatsApp niliyoko....
Kulikuwa na dalili za Mbaraka Yusufu mshambuliaji wa Kagera Sugar kuibuka mchezaji bora wa ligi kuu msimu huu wa 2016-17 lakini kadi nyekundu mechi ya juzi na Yanga SC inamtoa katika kinyang'anyiro hicho . Suala la nidhamu huenda likachafua mbio hizo. Namuona Haruna Niyonzima kurudi kwenye tuzo za mchezaji bora...
Nipo ndani ya uwanja mpya wa Taifa nikifatilia Mpambano wa Fainali wa mashindano yaliyopewa jina la URAFIKI CUP kati ya AZAM FC vs SIMBA SC jukwaa lile lile ambalo anapenda kukaa Pacha wangu wa Nje Bwana Frank Robert Rweyemamu mara inarushwa chupa ya maji kuelekea uwanjani aliposimama mshika kibendera kutoka...
Tafadhali tumia viungo rasmi kusambaza habari zetu. Facebook, Twitter au Barua Pepe. Kama utataka kutumia habari zetu tuandikie kupitia habari@kandanda.co.tz