Ligi Kuu

Ligi Kuu

Mpaka sasa Manara hajui kushoto na kulia.

Muungurumo ni mkubwa mno tena wenye nguvu kubwa sana kutoka katika mbuga ya msimbazi, mbuga ambayo haikuwa na malisho kwa muda wa misimu minne (4). Misimu minne (4) imekuwa misimu yenye mateso na njaa kali sana kwa Simba anayepatikana katika mbuga ya msimbazi. Kila kitu kilikuwa kigumu kwake hata afya...
Ligi Kuu

Kikosi bora chá VPL cha wachezaji waliosahaulika!

Ligi Kuu Bara imeshapata bingwa tayari huku tukisubiri watakaoshuka daraja na kuwapisha waliopanda daraja KMC, JKT Tanzania, Coastal Union, African Lyon, Biashaara na Allience School. Baadhi ya wachezaji waliopo katika timu zilizopo katika nafasi za juu (Simba, Yanga na Azam ) wamepigiwa  chapuo kua katika kikosi bora na kugombea tuzo...
Ligi Kuu

Azam waingia vita ya kumnasa Salamba, Lipuli wathibitisha

Klabu ya soka ya Lipuli imethibitisha kupokea barua kutoka katika vilabu viwili vikubwa vya Young Africans na Azam FC za kumuhitaji mshambuliaji wao kinda Adam Salamba. Lipuli ambao hapo jana walikanusha kupokea barua kutoka Yanga, wamethibitisha kupokea barua kutoka katika miamba hiyo ya soka nchini na kuongeza kuwa mbali na...
Ligi Kuu

Jasho la KDB limeivaa jezi ya Kichuya.

Hapana shaka ndiye mchezaji bora wa Simba na wa ligi kuu msimu huu, hili ndilo neno pekee ambalo ninaweza kuanza nalo ninapoandika makala hii. Shiza Ramadhani Kichuya alisifiwa sana wakati anakuja msimbazi na mimi sikutaka kumsifia nilimpa tafadhari moja tu kwenye andiko langu "Kichuya karibu kwenye kioo cha kinyozi". Kioo...
Ligi Kuu

Lipuli: Bado tunamipango na Adam Salamba

Uongozi wa klabu ya soka ya Lipuli ‘Wanapaluhengo’ umekanusha taarifa za kupokea maombi kutoka katika klabu ya Dar Young Africans ya kutaka kumsajili mshambuliaji wao kinda Adam Salamba. Lipuli kupitia kwa Msemaji wao Clement Sanga wameiambia Kandanda.co.tz kuwa huo ni uvumi wa mitandao ya kijamii na kwamba Salamba bado ni...
Ligi Kuu

Mechi zilizoipa Ubingwa Simba!

Baada ya kipigo cha magoli mawili kwa sifuri walichokipata Yanga kutoka kwa Tanzania Prisons katika dimba la Sokoine jijini Mbeya ni rasmi sasa SimbaSc ndio mabingwa wa Tanzânia Bara. Baada ya kuukosa ubingwa kwa takribani miaka mitano msimu huu wa 2017/2018 SimbaSc inafanikiwa kuutwaa ubingwa huo huku ikiwa na michezo...
Ligi Kuu

Yanga yajivua rasmi taji la ligi kuu

Simba SC, ndio mabingwa wapya wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara, mara baada ya waliokuwa mabingwa watetezi Yanga SC, kulivua rasmi taji hilo jioni ya leo kwa kukubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Tanzania Prisons mchezo uliopigwa kunako dimba la Sokoine mjini Mbeya Simba SC, wenye alama 65,...
Ligi Kuu

Simba yachukua ubingwa ikiwa chumbani.

Baada ya kukaa misimu minne bila kuchukua ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara, hatimaye klabu ya Simba imefanikiwa rasmi kuwa bingwa wa Ligi kuu Tanzania bara msimu wa mwaka 2017/2018. Hii imetokana baada ya timu ya Prisons kuifunga Yanga magoli 2-0 . Kwa matokeo hayo Simba ina alama ambazo haziwezi...
Ligi Kuu

Teke la Azam kwa John Bocco, limeongeza mwendo wa chura.

Kuna mengi ya kujifunza kwenye safari ya Arsene Wenger akiwa Arsenal. Watu wengi hatukumjua kitu ambacho kilifanya tusimwamini kabisa. David Dein pekee alikuwa na imani dhidi ya Arsene Wenger, ungeanzaje kumwaminisha shabiki kuwa kocha anayetoka katika ligi ƴya Japan angekuja kuipa mafanikio Arsenal? Hakuna mafanikio yaliyoonekana mbele ya mashabiki wa...
Ligi Kuu

Kikosi bora cha ligi kuu Tanzania 2017/2018.

1: Aishi Manula. Golikipa bora wa Tanzania kwa misimu miwili iliyopita, kuilinda milingoti mitatu ya Azam Fc kulimpa nafasi ƴya kuonesha uwezo wake. Uwezo ambao haukuwa na shaka kwenye mboni za macho ya wengi. Msimu huu analinda lango la msimbazi na katika mechi alizofanikiwa kucheza akiwa Simba amefanikiwa kupata clean...
1 78 79 80 81 82 94
Page 80 of 94