Esperance mabingwa tena.
Mchezo wa awali wa fainali dhidi ya Waydad Casablanca ulimalizika kwa mabao 1-1 na mchezo wa pili ulivunjika baada ya utataa wa VAR (Video ya Usadizi kwa Mwaamuzi).
Mchezo wa awali wa fainali dhidi ya Waydad Casablanca ulimalizika kwa mabao 1-1 na mchezo wa pili ulivunjika baada ya utataa wa VAR (Video ya Usadizi kwa Mwaamuzi).
Nigeria imetolewa katika hatua ya nusu fainali na timu ile ile iliyomfanya kibarua kiote nyasi.
Simon Msuva, Sai kama wanavyomuita uwanjani ameingia katika rekodi muhimu katika mchezo unaoendelea muda huu.
Katika mechi 44 Tanzania ilizokutana na Kenya, Tanzania imeshinda mechi 14, sare 14 na kupoteza 20.
Baada ya mechi hiyo mijadala ilikuwa kwanini Juuko Murshid kutokupewa nafasi kubwa kwenye kikosi cha Simba wakati ni beki mzuri.
Hizi ni takwimu chache kwa msaada wa mitandao tofauti. Michuano ya kombe la Mataifa ya Afrika inaanza leo.
Mchezo dhidi ya Misri ulisaidia kutoa picha ya namna mashindano ya AFCON yatakavyokuwa. -Amunike
Mane atacheza mechi mbili zitakazobaki baina ya Algeria na ya mwisho dhidi ya Kenya.
Jezi mpya ya Tanzania imezinduliwa na itatumiwa na timu zote za Taifa kwa upande wa mpira wa Miguu nchini.
Kikosi cha Stars tayari kwaajili ya michuano ya AFCON. Pitia hapa