Kwa mujibu wa kanuni, Lipuli hawakustahili.
Ongezeko ya timu karika mashindano itazipa nidhamu ya ushindani kwa timu zote katika mashindano yote mawili.
Ongezeko ya timu karika mashindano itazipa nidhamu ya ushindani kwa timu zote katika mashindano yote mawili.
Michuano hiyo itafanyika katika nchi ya Rwanda ambapo Yanga atakuwa kama timu mwalikwa kwenye michuano hiyo.
Msimu wa 2019/2020 ni msimu wa burudani tele kwa wapenzi wa Kandanda nchini, hizi taarifa umezipokeaje? Tupe maoni yako
Kocha wa KMC Etiene Ndairagije huenda wakati wowote akatangazwa na matajiri wa jiji Azam fc kuwa kocha wao mkuu kwenda kuchukua nafasi ya Hans Plujim aliefukuzwa.
Azam Fc itawakilisha Tanzania katika michuano ya Ligi ya Shirikisho Afrika
Baada ya mchezo huo kocha mkuu wa Yanga amedai kuwa mechi hiyo ilikuwa ni kama ya kirafiki kwa sababu wachezaji walikuwa wanacheza wanavyojisikia.
Ratiba ambayo sio rafiki kwa upande wa Lipuli FC imebidi wafanye hivi ili kuipa umuhimu fainali yao itakayowapa tiketi ya kuwakilisha Tanzania katika michuano ya Afrika.
Kwa matokeo hayo sasa Simba sc inahitaji alama nane ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu huu.
Nani kuibuka bingwa wa ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2018/2019? Simba, Yanga au Azam? Ingia upige kura yako na utoe maoni pia.
Lipuli fc imefanikiwa kuifunga Yanga sc na kukata tiketi ya kwenda fainali kumenyana na Azam fc mkoani Lindi baada ya kuifunga mabao mawili kwa sifuri.