Samatta achagua upande kati ya Ronaldo na Messi.
kwa sababu najua ni mzuri na anafanya nini na kuonyesha kila mchezaji kuwa ikiwa unataka kuwa mzuri unaweza kuwa lakini lazima ufanye bidii
Viatu vya Ronaldo vitamtosha Mbappe?
Ni mnafiki pekee asiyependa maendeleo ya binadamu mwenzie! Kylian Mbappe ndio mwanza ana miaka 21.
Ronaldo anarudi zake Madrid!
Ripoti nchini Italia zimesema kwamba Juventus itakua tayari kumuacha Ronaldo ajiunge tena na Madrid ili kujaribu kupunguza mzigo wa kifedha kwenye klabu unaosababishwa na janga la virusi
Buffon: Nitacheza mpaka na wajukuu zao
Baada ya majibu hayo Gigi alionekana kucheka na waandishi huku akiwa ameiweka begani kwake jezi ya Daniel Maldini.
Kumbee!.. Bila huyu jamaa, Ronaldo tusingemjua..
“Katika mechi hiyo tuiliibuka na ushindi wa goli 3-0, nilifunga goli la kwanza, na rafiki yangu Albert alifunga la pili, na goli la tatu ndilo goli lililowashangaza wengi, na mimi nikiwa ni miongoni mwao..”
Mancini alaani vitendo vya kibaguzi kwenye soka.
Kocha wa timu ya Taifa ya Italy Roberto Mancini amesema kitendo cha ubaguzi alichofanyiwa mshambuliaji kinda wa Juventus Moise Kean...
Mchezo wasimama dakika tatu, Kean akiimbiwa nyimbo za kibaguzi.
Mchezaji kinda wa Juventus Moise Kean jana amekutana na wakati mgumu baada ya mashabiki kumtolea maneno ya kibaguzi wakati timu...
England ndiye mfalme wa Ulaya.
Kwa mara ya kwanza baada ya Miaka kumi, nchi moja imefanikiwa kuingiza timu nne kwenye hatua ya robo fainali ya...
Sababu tatu kwanini Ronaldo anaweza kutolewa UEFA
Mpaka sasa ana goli moja tu katika mechi tano alizocheza msimu za ligi ya mabingwa barani ulaya.
Kesi ya ubakaji: Cristiano maji ya shingo, mashahidi wazidi kujitokeza.
Leslie amesema maelezo ya mwanadada huyo yanaweza kuwasaidia katika kesi yao ya ubakaji,