Jana kulikuwepo na mchezo kati ya Yanga na Mbaya City katika uwanja wa Taifa . Mchezo ambao ulichezwa siku ambayo Yanga ilikuwa inasherehekea miaka 85 tangu ianzishwe.
Pamoja na kwamba Kocha mkuu wa Yanga kuonekana kusikitishwa na kiwango cha waamuzi katika mchezo wa jana dhidi ya Mbeya City ambao ilimalizika kwa sare ya 1-1 kocha huyo amegusia kuhusu safu mbovu ya ushambuliaji.