Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.
Ni Wawa au Mzamiru kesho!?
Kanoute amekua akijenga "partenership" nzuri na Jonas Mkude si tu katika michuano ya CAF lakini pia hata katika michezo ya NBC Premier League.
Yanga imempoteza mazima Mzamiru?
Je makosa ya kusababisha goli katika mchezo ule ndio yamemfanya kukosa nafasi katika kikosi cha Wekundu hao?
Mzamiru wa Mtibwa Sugar katika jezi za Simba
Umeugundua mchango na umuhimu wa Mzamiru katika kikosi cha Simba? Mkeyenge anaangazia pia.
Mbinu za Aussems zipo miguuni mwa Kagere na Mzamiru tu!
Twende sawa, niambie maoni yako ni yepi, Je unakubaliana na mimi kuwa Kagere na Mzamiru ndio wachezaji wakutumainiwa zaidi ndani ya Msimbazi?
Tuachane na Mzamiru na Kagere, Wawa ndiye alikuwa nyota wa mchezo
Kuna maeneo muhimu ambayo Pascal Wawa aliyatimiza vizuri jana na kumfanya aonekane kama ni nyota wa mchezo wa jana.
Muzamiru Yassin anaweza kuwa bora zaidi ya Chama, Niyonzima….
Kutokushinda tunzo ni jambo lingine, lakini kitendo tu cha kumudu kuwepo katika orodha ya viungo watatu bora wa klabu yake msimu uliopita ni ishara njema zaidi kwake kama ataendelea kujituma na kufuata maelekezo ya walimu wake.
Kumbe Aussems ‘ali-bet’ aisee..!
Simba walitolewa katika mashindano ya Klabu Bingwa Afrika katika hatua ya robo fainali, baada ya kufungwa bao 4-1 na TP Mazembe
Simba inahitaji Shujaa mpya ili kuishinda Vita!
Sio hao tuu lakini kina Wawa na Juuko wakati wa mipira ya adhabu na kona mkivitumia vichwa vyenu kwa ufasaha zaidi
Nani kuziba pengo la Jonas Mkude?
Je tumtegemee swaiba wake Said Hamis Ndemla kupewa eneo la kati na kulitendea haki?