"Walianza kunifwatilia muda tuu kumbe hata kabla ya kusaini Dodoma Jiji, waliniona na wakaomba video zangu wakatumiwa mechi nilizocheza na kocha akapendekeza jina langu kusajiliwa katika timu yake.
Sisi tunampango wa kisayansi . Unajua sayansi haiongopi , kwa hiyo na sisi hatuna mipango ya kuongopa kwa sababu ya ukweli kuwa tutawafunga Simba Sc". Alisema Masau Bwire.