Wajue TP Mazembe, rekodi na wachezaji wao..
TP Mazembe ilianzishwa mwaka 1939 ikijulikana kwa jina la FC Saint Georges, uwanja wake una uwezo wa kubeba jumla ya watazamaji 18,500. Rais wa klabu
TP Mazembe ilianzishwa mwaka 1939 ikijulikana kwa jina la FC Saint Georges, uwanja wake una uwezo wa kubeba jumla ya watazamaji 18,500. Rais wa klabu
Unaweza sema watu wanachukua mabaya zaidi kuliko mazuri anayoyafanya.
Kati ya timu 8 zilizofuzu, hakuna timu hata moja iliyopata ushindi katika michezo minne isipokuwa Esperance De Tunis ya Tunisia. Esperance katika kundi B imejikusanyia jumlaya alama 14 ikishinda michezo yote mitatu ya nyumbani na mmoja wa ugenini dhidi ya FC Platinum na kupata sare mechi mbili dhidi ya Horoy
Hakika Yanga wanaweza kuwa ‘wanateseka’ sana na mafanikio ya Simba. Msiteseke sana..
Anakua moja ya wachezaji wenye umri mdogo kabisa kuweza kuhusika kuivusha klabu yake hatua ya makundi na kufika robo fainali.
Kampuni hizo zilikua zinasubiri tu Simba ifuzu hatua ya robo fainali.
Hawa ndiyo walitakiwa kuitwa Mbumbumbu na siyo mashabiki wa Simba.
Huyu ambaye kila uchwao alikuwa anawasisitiza mashabiki wa Simba waje kwa kujiamini kuwa watabeba hizo alama zote tisa.
Nyoni kuna funzo katupa jana kwa kiwango chake kazi kwetu kuamua kujifunza au kujifanya hatujaona kitu tukumbuke shukakumekucha.
Amepiga “successful tackle” moja, alitumika kama winga wa kushoto. Pale alipopata nafasi ya kushambulia, alifanya hivyo na alileta madhara, ndio maana ya goli lake. Anastahili kupata alama alizo zipata