Upi ubora wa Chama?
Simba walifanikiwa kufuzu hatua ya makundi, lakini moja ya mashujaa walioibuka katika mchezo huo ni kiungo wa Simba, Chama.
Simba walifanikiwa kufuzu hatua ya makundi, lakini moja ya mashujaa walioibuka katika mchezo huo ni kiungo wa Simba, Chama.
Kabla sijakupeleka mbali, kwanza vuta taswira ya paka, kisha mkaribishe kocha wa Simba SC, Patrick Aussem katika medulla ya ubongo wako kisha anza kumtafsiri kwa kukumbuka kama ndiye aliyeirudisha historia iliyoadimika kusikika kwa wekundu wa msimbazi na nchi kwa ujumla baada ya miaka 15 kabla ya kufuzu raundi ya makundi klabu bingwa barani Africa.
Magoli ambayo yameifanya Simba kuingia hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Africa. Ndiye bosi halali wa kikosi cha Simba kwa sasa.
Wachezaji wanna wetolewa kwa mkopo kwendaa vilabu zingine!
Miongoni mwa mechi ambazo haziji kusahaulika barani ulaya na duniani kwa ujumla ni mechi ya raundi ya 16 bora klabu bingwa barani ulaya iliyochezwa Machi 8, mwaka 2017 kati ya Barcelona na Paris-Saint Germain. Ilikuwa ni mechi ya marudiano baada ya ile ya kwanza iliyochezwa pale ufaransa na PSG kuibuka na ushindi wa magoli 4-0, katika mchezo huo wa marudiano pale Nou Camp Barca waliibuka na kitita cha magoli 6-1, na kuwasukuma nje ya mashindano PSG.
Simba inatarajiwa kuweka historia ya kufuzu hatua ya makundi baada ya kufanya hivyo tangu mwaka 2003.
Simba inatafuta nguvu ya mchezaji wa 12 siku ya Jumapili, je wao wamejiandaaje pia?
Hivi unamkumbuka Mikel Arteta Amatriain? Achana na Miguel Arteta, mtengeneza filamu, namaanisha yule mkata umeme wa Arsenal miaka ya 2011,aliyekataukame wa vikombe kwa miaka 9 pale kwa washika bunduki wa Arsenal akicheza kama kiungo mkabaji chini yaArsene Wenger.
Mpira ni sayansi , yaani lazima kuwe na utaratibu maalumuambao utaiwezesha timu kupata matokeo kutokana na hitaji la mechi husika.
Dondoo za mchezo