Hivi hapa vikosi vya kwanza vya nusu fainali.!
Ni lazima kuifunga Simba nusu fainali. Yanga katika mchezo wa kesho watakua na machaguo matatu ambayo ni Ushindi, Ushindi, Ushindi.
Ngoma ngumu lakini sherehe lazima inoge!
mchezo mgumu kutokana na uimara wa wapinzani lakini atahakikisha tunapata ushindi ili kunogesha sherehe za kukabidhiwa taji letu la ubingwa.
Sven: Dumayo anatakiwa achukuliwe hatua stahiki.
Kapombe aliumizwa goti la mguu wa kulia kiungo Frank Domayo dakika za mwisho za mchezo tukio ambalo mwamuzi hakuliona.
Kocha Simba: Kesho sio mchezo wa kawaida.
Sven Vadebroek amesema mchezo wa kesho sio mchezo wa kawaida kutokana na kucheza na wapinzani wao wakubwa katika Ligi.
MKWASA ni kocha bora kuzidi Kocha wa Simba !
Simba na Yanga wapo katika visiwa vya Zanzibar wakishiriki katika michuano ya kombe la Mapinduzi ambapo timu zote jana zimefanikiwa...
Sven Van den Broeck tulimkataa YANGA akachukuliwa SIMBA – BUMBULI
"Sven Van Den Broeck alituma maombi ya kazi kwetu Baada ya Mwinyi Zahera kutimuliwa , sisi tulimkataa na tulimpomkataa aliamua kuomba kazi kwenye klabu ya Simba Baada ya sisi kumkataa".