Kuna wakati Yanga wanaitamani Simba.
Inacheza vizuri, ina wachezaji bora kwenye kila idara. Kwa kifupi Simba inafanya vizuri ndani na nje ya uwanja.
Inacheza vizuri, ina wachezaji bora kwenye kila idara. Kwa kifupi Simba inafanya vizuri ndani na nje ya uwanja.
Nini kilichokuwa kikiwakwamisha hadi baada ya kusikia hukumu ya Bodi ya Ligi? Lini uwanja huu utaanza?
Shirikisho la soka la Tanzania, limevifungia baadhi ya viwanja siku kadhaa kabla ya Ligi kuu kuanza.
Wadau wengi bado wanaulizia ligi hii itakuwa na mdhamini? Au inaenda kavu kavu?
Huwezi kujiita mwekezaji wakati hutaki kuwekeza hata kwenye hamasa ya mashabiki. Wachezaji huitaji hamasha ili kujituma zaidi.
Tanzania inawakilishwa na vilabu vinne mwaka huu. Vilabu hivo ni Simba na Yanga vitakavyocheza katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika.
“Mara ya mwisho kuja hapa tulishangiliwa na mashabiki wengi sana hapa, najua watakuwepo tena katika mechi ya leo”.
Kwenye timu ya taifa kuna Juma Kaseja ambaye anaonekana ana njaa kubwa kwa kipindi hiki na kwenye timu ya Simba kuna Beno Kakolanya.
Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Crescentius Magori amesema hakutahitajika kuwa na pesa ya kianzio katika akaunti wala makato ya mwisho wa mwezi.
Simba watacheza na Township Rollers wapinzani wa kimataifa wa Yanga katika mchezo wa awali. Baada ya hapo watacheza dhidi ya Platnumz FC, Mamelodi Sundowns, Kaizer Chiefs.