Simba imeshinda, lakini ZANA kaibuka Shujaa.
Kuna wakati mwingine muda huwa ni mwamuzi mzuri , tunatakiwa kuvumilia na kusubiri muda utoe hukumu sahihi.
Kuna wakati mwingine muda huwa ni mwamuzi mzuri , tunatakiwa kuvumilia na kusubiri muda utoe hukumu sahihi.
Simba yupo uwanjani leo dhidi ya Al Ahly
Inawezekana Mwinyi Zahera hajui matamanio yetu , ndiyo maana anazidi kumbania Beno Kakolanya, ugomvi wao sisi nyasi ndiyo tunaoumia.
Hata nje ya uwanja mashabiki watakuwa na nguvu ya kununua bidhaa za vilabu vyao kwa kuchagizwa na falsafa hii ya YES WE CAN.
Ni lini utaufumua huo mfumo wetu wa soka na hujachoka kusoma makala ambazo zinakusisitiza kufumua mfumo wetu wa soka?
Mapinduzi siku zote huja baada ya damu kumwagika. Matokeo mabovu wanayoyapata Simba kwa sasa ni hatua ya wao kufikia mapinduzi ya kweli ya mpira, naamini kuna funzo kubwa wanapata kupitia haya mashindano.
Al Alhly ndiyo mabingwa wa kihistoria wa kombe hili la ligi ya mabingwa barani Afrika. Kombe hili huwa wanalichukulia kwa maanani sana. Siyo rahisi kwao wao kukubali kupoteza nyumbani tena dhidi ya Simba.
Mkutano unaendelea Jijini Arusha, tunakuletea dondoo muhimu kutoka huko pamoja na maoni yetu.
Unakumbuka enzi za Boban? Alijua kupiga pasi vizuri, alijua kutengeneza nafasi za kufunga magoli vizuri. Alijua kufunga pia magoli. Alijua kuupaka rangi ya kila aina mpira.
Mtaani kuna picha yako inasambaa sana. Picha ambayo….Stori zaidi.