Thomas Mselemu

Msimamizi wa Tovuti
Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Tetesi

Auseems kutambulishwa Yanga

Kile kishindo alichotangaza msemaji wa Yanga Antonio Nuggas huenda ndio kanakaribia kutimia. Tuendelee kuweka bando tuu na kuendelea kufuatilia tovuti ya Kandanda kwa habari zaidi za usajili.
Tetesi

Namungo yavamia tena Lipuli!

hakumaliza msimu vizuri na klabu yale ya Lipuli baada ya kutofautiana na uongozi na hivyo kupelekea kushindwa kujiunga na timu kumalizia Ligi baada ya mapumziko ya ugonjwa wa corona kumalizika.
Tetesi

Kiungo akanusha kusaini Yanga!

Kiungo huyo ni miongoni mwa wachezaji saba wa msimu uliopita waliofunga Hatrick amesema yupo tayari kwenda klabu yoyote kikubwa ni mzigo tu wa maana ndio utakaoamua wapi atakwenda msimu ujao.
1 17 18 19 20 21 66
Page 19 of 66