Yanga wachoshwa na danadana za Beno Kakolanya.
Uongozi wa klabu ya Yanga umekiri kupokea barua….Stori zaidi.
Uongozi wa klabu ya Yanga umekiri kupokea barua….Stori zaidi.
Klabu ya soka ya Simba imethibitisha kupitia mtandao….Stori zaidi.
Soka la wachezaji wetu wa ndani kwa maana ya viwango vyao limeshuka sana kulinganisha na msimu mmoja uliopita.
Yanga imepoteza michezo miwili mfululizo, wa ligi kuu mmoja na kombe la sportpesa mmoja.
Ambundo kwa mwezi huu ameshafunga magoli 4 na anachuana vikali na Aiyee wa Mwadui FC
Yanga ilipoteza mechi yake ya kwanza msimu huu mbele ya Stand United.
Bao pekee la Stand United limefungwa na Jacob Massawe katika dakika ya 88,
Lipuli FC wamepata alama zote tatu wakicheza ugenini dhidi ya Wanatamtam Mtibwa Sugar.
Nahodha Jacob Masawe ndie aliepeleka kilio Jangwani.
Alliance wanashuka dimbani jumapili hii kucheza na Mbeya City kwenye uwanja wa Nyamagana wakitoka kupata alama moja dhidi ya Tanzania Prisons baada ya sare ya bao 1-1