Ligi Kuu

Ligi Kuu

Maandalizi ya Yanga dhidi ya MCC yakamilika.

Afisa Habari wa klabu ya soka ya Yanga Dismas Ten amesema maandalizi kuelekea katika mchezo wao wa Ligi dhidi ya Mbeya City yanaendelea vizuri na kwamba Kati ya wachezaji 20 ambao wamesafiri na timu hakuna ambaye anamajeraha yatakayomuweka nje ya mchezo huo.
Ligi Kuu

Zahera awapa ‘tano’ mashabiki.

"Nawashukuru na kuwapongeza mashabiki waliofanikisha timu kwenda kwa ndege mkoani Mbeya, hakika Mungu awabariki sana . . hii ndio maana halisi ya timu kumilikiwa na mashabiki wake, sio ajabu kwa mashabiki kuichangia timu yao. . hata Barcelona , Madrid, PSG mashabiki huweka pesa zao ili kufanikisha jambo fulani. Nashangaa hapa...
Ligi Kuu

Tumemzoea AJIB na Tunaelekea Kumsahau AJIB.

Kuna muda tulitumia muda mwingi sana kumwandika, mikono yetu ilikuwa inatoa tabasamu kila tulipokuwa tunamwandika Ibrahim Ajib. Hata midomo yetu ilikuwa na furaha kubwa sana kila tulipokuwa tunamtaja Ibrahim Ajib. Midomo yetu ilikuwa inaona fahari kumtamka. Tena tulitumia muda mwingi sana kumtafutia majina ya kuvutia kupitia midomo yetu. Yupo aliyesema...
1 54 55 56 57 58 94
Page 56 of 94