Ligi Kuu

Ligi Kuu

Beki Simba amerudi mwanangu!

Kurudi kwa Salim Mbonde kunamaanisha kuzidi kuongezeka kwa ushindani katika eneo la beki wa kati, mpaka sasa nafasi hiyo ina mabeki watano lakini mwalimu Patrick amekua akiwatumia Pascal Wawa na Erasto Nyoni.
LigiLigi Kuu

Zahera akwea pipa, hiki ndicho alichokisema kwa mashabiki.

Kocha mkuu wa Yanga, Mkongoman Mwinyi Zahera amewaomba mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu na kutosikiliza maneno ya mtaani yanayosema kwamba ameikacha timu hiyo na kurejea nyumbani kwao. Zahera amesema ni kweli anaondoka nchini na anaelekea nchini Ufaransa ambapo atakuwepo huko kwa ajili ya kufuatilia biashara zake na amepanga kurejea...
Ligi KuuUhamisho

Usajili kamili wa dirisha dogo!

Baada ya usajili wa dirisha dogo kufungwa December 15 vilabu mbalimbali vimetoa orodha ya wachezaji walioingia na waliotoka!  African Lyon. Waliotoka: Haruna Moshi -Yanga Adam Omary Prison Walioingia  mkopo Swaleh Abdallah (Azam) na Adil Nassor (Coastal Union)  AZAM FCWalioingia: Obrey Chirwa - Nogoom El Mostakbal ya Misri.         ...
1 55 56 57 58 59 94
Page 57 of 94