Kurudi kwa Salim Mbonde kunamaanisha kuzidi kuongezeka kwa ushindani katika eneo la beki wa kati, mpaka sasa nafasi hiyo ina mabeki watano lakini mwalimu Patrick amekua akiwatumia Pascal Wawa na Erasto Nyoni.
Licha ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Mwadui FC kuhitimisha michezo kumi mfululizo bila ushindi katika ligi kuu Tanzania Bara kocha mkuu wa Mbao FC, Amri Said ‘Stam’ amesema hawezi kukubali ujio wa kocha Ally Bushiri.
Kocha mkuu wa Yanga, Mkongoman Mwinyi Zahera amewaomba mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu na kutosikiliza maneno ya mtaani yanayosema kwamba ameikacha timu hiyo na kurejea nyumbani kwao. Zahera amesema ni kweli anaondoka nchini na anaelekea nchini Ufaransa ambapo atakuwepo huko kwa ajili ya kufuatilia biashara zake na amepanga kurejea...
Baada ya usajili wa dirisha dogo kufungwa December 15 vilabu mbalimbali vimetoa orodha ya wachezaji walioingia na waliotoka! African Lyon. Waliotoka: Haruna Moshi -Yanga Adam Omary Prison Walioingia mkopo Swaleh Abdallah (Azam) na Adil Nassor (Coastal Union) AZAM FCWalioingia: Obrey Chirwa - Nogoom El Mostakbal ya Misri. ...