Mwakyembe amtaja Molinga, alisifia jeshi!
wale ni wanajeshi lazima kikosi kitakachopambana nao kiwe na nguvu muda wote.
Tuwekeze kwenye soka la vijana zaidi..
Kuna nchi Ligi zao zimejaza wachezaji wa kigeni, lakini bado zinafanya vizuri katika mechi za timu ya Taifa.
Kabla ya kufika huko, turudi kwenye misingi yake kwanza..
Wajerumani na Waingereza nao iliwabidi wajifunze kuhusu jinsi ya kuwekeza na kujenga soka lao. Wakiangazia kombe la Dunia lijalo.
Tuwaache tuu wachezaji wa kigeni wabaki 10
Vuta picha ligi bila udambwi wa Morrison, bila ukabaji wa Yakubu, bila mbwembwe za golikipa ‘handsomeboy.
Je kuna haja ya CCM kutafuta muwekezaji wa viwanja vyake?
Mjadala ulioko KandandaChat: Natamani sana Waziri Mwakyembe aigeukie CCM kama Waziri mwenye dhamana ya michezo kuwaambia wa vikarabati hivi viwanja.
Sipendekezi uwanja wa Taifa kuitwa KWA MKAPA!
Tumkumbuke kupitia hospitali ya kimataifa ya Dodoma, tumkumbuke kupitia barabara na pia tumkumbuke kuwa ndiye aliyejenga huu uwanja lakini tuvae miwani ya kibiashara.
Serikali yatoa marufuku kuuita uwanja wa taifa “ kwa Mchina”
Nawaomba msiuite uwanja huu kwa mchina, uwanja huu hatukupewa zawadi na China, usijenge “concept” kwa watoto kuwa tulipewa zawadi, unaitukana kodi ya Mtanzania”
Huu ndio msimamo wa serikali kuhusu uchaguzi wa Yanga.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr Harrison George Mwakyembe ameitaka klabu ya soka ya Yanga kuheshimu maelekezo ya...