Ligi KuuIhefu: Tunaitaka nne bora!Thomas Mselemu4 years agoJohn Mbise pia hakusita kutoa sababu zilizomfanya kuondoka katika timu ya Namungo fc
ASFCKiungo Simba! Namungo wanastahili ubingwa FA.Thomas Mselemu4 years agoAlimaliza kiungo huyo ambae kuna tetesi msimu ukimalizika huenda akatimikia nchini Estonia katika majaribio.
Ligi KuuKiungo Namungo: Mechi ya Yanga ni muhimu kwetu!Thomas Mselemu4 years agoTumejiandaa vizuri kwa ajili ya mechi zote zilizobaki kwenye Ligi sio tu mechi ya Yanga, isipokuwa mechi na Yanga ni muhimu sana kwetu kutokana na nafasi na alama zetu kati yetu
Ligi KuuKiungo Namungo anaitaka Ligi kwa hamu!Thomas Mselemu4 years agoTayari wote tupo kambini na tunaendelea na mazoezi ya nguvu kama kawaida chini ya walimu wetu wote.
Ligi KuuWasemavyo wachezaji juu ya janga la corona!KandandaTz4 years agoTovuti ya Kandanda inakuletea maoni ya baadhi ya wachezaji wa Ligi Kuu na daraja la kwanza.
Ligi KuuJohn Mbisse: Tunashukuru serikali kusimamisha Ligi.Mwandishi Wetu4 years agoMapumziko haya yatazisaidia timu kuweza kupumzika kutokana na ugumu wa ratiba na pia kuweza kutulia kufanya marekebisho ya makosa yao.
Ligi KuuKiungo wa Simba amwaga wino Namungo fcThomas Mselemu5 years agoJohn Mbise pia amepitia vilabu mbalimbali kama Mshikamano fc, Dodoma fc na Friends Rangers kwa nyakati tofauti.