Tovuti hii inakuletea mkutano wa kwanza wa kocha wa muda wa Mashetani Wekundi, Manchester United Ole Gunnar na waandishi wa habari uliofanyika jana tarehe 21-12-2018 kufuatia upya wake katika klabu na mechi dhidi ya Cardiff city jumamosi hii.
“Usiku wa deni haukawii kuisha” hivi ndivyo kochawa Manchester United Jose Mourinho alivyokuwaakisubilia hatma yake katika klabu hiyo ya mashetani wekundu baada ya matokeomabovu katika ligi na klabu bingwa barani ulaya. Hatimaye imethibitishwa kuwakocha wa mabingwa wa Europa msimu wa 2016/17 ametimuliwa rasmi.
Katika ulimwengu wa Soka, ukisikia jina la “Jose Mourinho” kuna picha nyingi zinakujia kichwani, napicha hizo zinategemeana na jinsi unavyomkumbuka mreno huyo kwa kile alichoifanyia timu yako au kwa jinsi unavyolijua soka la dunia tangu akiwa Fc Porto na vilabu vingine.