Super Cup: Simba kuanza na Leopards, Yanga wapewa Kariobangi.
Ikumbukwe kuwa bingwa wa michuano hii atapata nafasi ya kucheza na timu ya Everton kutoka nchini Uingereza katika tarehe ambayo itapangwa hapo baadae.
Ikumbukwe kuwa bingwa wa michuano hii atapata nafasi ya kucheza na timu ya Everton kutoka nchini Uingereza katika tarehe ambayo itapangwa hapo baadae.
Simba itacheza mechi ya kwanza tarehe 12 Jijini Dar
Wakati natazama mechi ya mwisho ya Cesc Fabregas akiwa na uzi wa Chelsea kitu cha mwisho kuja katika akili yangu ni sura ya Haruna Niyonzima.
Mkude pia ametajwa na tovuti hii kuwania uchezaji Bora wa 2018. Unaweza tazama na kupiga kura.
Klabu ya soka ya Simba ya jijini Dar….Stori zaidi.
Simba kupangwa na nani Klabu Bingwa Afrika? Fuatilia hapa.
“…mpira ukiwa upande mwingine, labda tuseme upande wa mashariki kwenye “high pressure” yeye anakuwa ni mwepesi sana kukaa kwenye “low pressure” ambapo wachezaji wa timu pinzani hawapo “
Kocha wa timu ya soka ya Mashujaa ya….Stori zaidi.
Simba udhaifu wake ni upi? Je anaweza kuwa katika chungu kipi wakati wa upangwaji makundi? Makala ina majibu yote.
Tulimwamini sana, tulimpa kila kitu. Mioyo yetu ilimpa mahaba yote. Kibaya zaidi tulimwamini kuliko mtu yeyote kwa sababu tu 3-5-2.