Yanga yashindwa kuvunja gereza, Mayele aweka rekodi.
Ni kwa mara ya kwanza Yanga wanacheza michezo mitatu mfululizo bila ushindi
Ajib apewa kazi maalum ya kuandika historia leo!
Ajib amepewa kazi maalum ya kusaidiana na Meddie Kagere katika eneo la ushambuliaji la Simba mbele ya Wajelajela Tanzania Prisons ambao wanasifika kwa soka la kutumia nguvu haswa.
Kocha Simba afichua jinsi watakavyobeba ubingwa kesho!
Kuhusu hali ya kikosi kocha Sven amesema wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri na wapo tayari kwa mchezo isipokuwa kiungo.
Bocco: Mashabiki njooni uwanjani muone!
Tunafahamu mechi zitakuwa ngumu kwa kuwa kila timu inahitaji pointi tatu katika kipindi hiki ligi ikielekea ukingoni lakini.
Kiungo Prisons: Yanga ni kama nyumbani.
Yanga ni kama nyumbani kwangu maana nilipita pale katika timu ya vijana hivyo sina shida ya kurejea tena pale.
Kilio cha Zahera, sababu hii hapa.
Timu ya Yanga imerejea jijini Dar Es Salaam ikitokea mkoani Mbeya kupepetana na maafande wa Magereza, Tanzania Prisons na kufanikiwa...