Jezi za taifa stars yazinduliwa
Jezi ya Taifa Stars ambayo itatumika na timu zote za Tanzania. Blue- Nyumbani na Njano-Ugenini.
Kuanza kupatikana leo katika maduka ya michezo.
Jezi ya Taifa Stars ambayo itatumika na timu zote za Tanzania. Blue- Nyumbani na Njano-Ugenini.
Kuanza kupatikana leo katika maduka ya michezo.
Kumekuwa na taarifa za ndani kuwa Mtendaji mkuu wa Simba , Magori kuondoka Simba. Hiki ndicho Kandanda inatambua…
Kikosi cha Timu ya taifa kipo nchini Misri na wachezaji 32, gumzo pia limekuwa kwanini kocha Aminike ameita makipa wengi
Tumekuwa tukitamani sana kuwaona Ibrahim Ajib na Jonas Mkude wakifanikiwa kwenye mpira wa miguu lakini wao hawaoni kama wanatakiwa kufanikiwa.
Nidhamu nje ya uwanja imekuwa silaha kubwa kwake yeye kufanya vizuri ndani ya uwanja. Nini wachezaji wetu wanahitaji kujifunza kutoka kwa Kagere?
Ushindani wa timu hizi ndio utafanya ligi yetu kuwa bora zaidi. Kandanda.co.tz itaendelea na utaratibu wa kusheherekea na wafungaji wa Mabao kila mwezi.
Kagera Sugar na Mwadui Fc zimeingia katika hatua ya mtoano dhidi ya timu za ligi daraja la kwanza ili kuamua nani atabaki au atapanda Ligi Kuu.
Hii ni orodha ya wachezaji 32 ambayo Emmanuel Amunike, kocha wa Taifa Stars, ameondoka nao kwaajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Misri. Je ni wachezaji gani tisa wanaweza wasiende AFCON?
“Uwezo wa wachezaji walioachwa hakunishawishi mimi kama kocha, mimi siangalii mchezaji huyu ni nani awe kaka yangu au dada yangu,
Je ile safari ya Etiene kutua Azam FC inaelekea kutimia, KMC wakiri kutokuendelea naye kwa msimu ujao.